WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)
MAFUNZO KWA WAHUDUMU WA MABASI YA ABIRIA
Malengo ya mafunzo.
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kupitia Sheria ya Udhibiti wa Usafiri ya Mwaka 2019 na Mwaka 2020 zinamtaka kila mhudumu wa vyombo vya usafiri wa umma kupatiwa mafunzo ya msingi kuhusu huduma kwa wateja, huduma ya kwanza, na usimamizi wa operesheni za usafiri. Kupitia mpango huu, Chuo cha Elimu ya Biashara kimepewa jukumu la kuandaa na kutoa mafunzo kwa wahudumu wote wa mabasi ya abiria nchi nzima.
Moduli zinazofundishwa
Tarehe za mafunzo: 22 – 29 Aprili, 2024
Mikoa husika
Gharama za mafunzo: TZS 200,000.00
Mawasiliano zaidi: Ms. Neema Kitonka (barua pepe: neema.kitonka@cbe.ac.tz; simu: 0782 033350)